Sheikh Abdullah Daqqaq

IQNA

IQNA – Msomi mwandamizi wa Bahrain amesema kuwa umoja katika mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, si nembo tu ya kisiasa; bali ni neno-msingi katika mkakati wake wa kistaarabu wa kurejesha izza, heshima na mamlaka kwa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3482465   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/10